MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ASHIRIKI IBADA YA KUMUAGA PADRE HAULE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango na Mkewe Mama Mbonimpawe Mpango wameshiriki ibada ya kumuaga marehemu Padre Paul Haule aliyekuwa Paroko Msaidizi wa  Parokia ya Mtakatifu Petro Osterbay Jijini Dar es salaam. Marehemu Padre Paul Haule pia alikuwa  Mkurugenzi wa Vyombo vya Habari vya Tumaini vinavyomilikiwa na Kanisa katoliki hapa